
frenchboy - mteja lyrics
oooh lala lala
chorus
leo, leo hatuendi mahali, tumebaki kwa keja baki kwa keja, baki kwa keja baki kwa keja, leo hatujibu masimu, mi niko mteja we uko mteja mi niko mteja we uko mteja
verse 1
mpenzi nakupenda, nakuhitaji mimi, kila usiku na mchana haa baby nakutaka wanipa furaha inaonekana usoni yeah juu wajua kunipa hio mali, ukinipa hutaki nibakishe unataka nirudi pale pale, kwa hivyo
chorus
leo hatuendi mahali, tumebaki kwa keja baki kwa keja, baki kwa keja baki kwa keja baki kwa keja, leo hatujibu masimu, mi niko mteja we uko mteja mi niko mteja we uko mteja. leo hatuendi mahali, tumebaki kwa keja baki kwa keja, baki kwa keja baki kwa keja baki kwa keja, leo hatushiki masimu, mi niko mteja we uko mteja mi niko mteja we uko mteja
basi karibia simu yako weka mbali,nionyeshe jinsi unavyozungusha kiuno,mambo za gizani unataka nikubusu, popote,pole pole hatuna haraka hadi che che nitakutoa jasho hadi che che baby
chorus
leo hatuendi mahali, tumebaki kwa keja baki kwa keja, baki kwa keja baki kwa keja baki kwa keja, leo hatujibu masimu, mi niko mteja we uko mteja mi niko mteja we uko mteja. leo hatuendi mahali, tumebaki kwa keja baki kwa keja, baki kwa keja baki kwa keja baki kwa keja, leo hatushiki masimu,mi niko mteja we uko mteja mi niko mteja we uko mteja (x2)
Random Lyrics
- lucky fonz iii - ik mis je nu al lyrics
- ted roe - buffalo horns lyrics
- tyne-james organ - talk is cheap lyrics
- yanix - салют (salute) lyrics
- bushido - wie 1 gee lyrics
- al stewart - last days of the century - constantinople - last days lyrics
- pierwszy - kiedy odejdziesz lyrics
- code kunst - this is lyrics
- oxon - liga sprawiedliwości lyrics
- j.differänt - vs. cleptomatic - [hr 8tel-finale vbt 2015] lyrics