future jnl – tena lyrics
eh, kozy bado
a.m. records
eh, oya bu, i don’t know what to do
ra, rasta
sometime mi nawaza
roho yako iridhike kw+ngu utulie
nina mambo mengi sana ila natambua ah
na mengine yanauma siwezi simulia eh
nak+mbuka kali yako moja ya uchungu huku unalia
eti mi ndio mwanaume wako alikupa mungu
na uliebarikiwa ah
eh, oya bu, i don’t know what to do eh
eh, oya bu, i don’t know what to do
tena
tena
tena
nilianza maisha sasa nimeyakuta
kutwa mi nnaangaika usiku kucha ili kukuridhisha
kwepa wanafiki na fedhuri huaribu pendo
roho zao kaniki yenye kivuli eh
nak+mbuka kali yako moja ya uchungu huku unalia
eti mi ndio mwanaume wako alikupa mungu
na uliebarikiwa ah
eh, oya bu, i don’t know what to do eh
eh, oya bu, i don’t know what to do
tena
tena
tena
Random Lyrics
- delineate – void pool lyrics
- hs gunshot kid a.k.a. juicy face – 18 lyrics
- goodandrei – руки в кровь (hands in blood) lyrics
- phonkdoctor sloth – escapism lyrics
- neolithic – four seasons lyrics
- pacho el antifeka & luar la l – la calle* lyrics
- marvin brooks – as i went down lyrics
- hannah may allison – unhappy hour lyrics
- pure (zxcpure) – весна* (spring) lyrics
- якоръ (yakor; ru) – ты ебать банан (intro) lyrics