gelax – king’ora lyrics
intro
king’ora x5
kimelaa
chorus
king’ora kimelia ,kimelia …kimelia x2
king’ora kimelia ,kimelia …kimelia x2
kazi za shetani zimeshaharibiwa x3
verse 1
king’ora , king’ora kimelia
kama una makosa anza kuyatubia
napata kwa mtaa kuwahubiria
kukimbia sio njia,adui anazo mbinu za kukuijia
na ishara hii inaonyesha wewe sio mtii
itolewapo hii sauti kuna mtu alidai haki
nimeokolewa kwa alioyetundikwa juu ya mtii
hutawekwa huru , ndani ya gereza hakuna suluhu
njia ya kukataa uovu, ni kuukubali wokovu
unaoletwa na mwili wenye tamaa
ndipo kutengana na utakatifu
maana ikisha komaa, huo ndio uhalifu
kondoo walio tawanyika wana mchungaji
huwaongoza kupita nyika ,anayefuzu anavishwa taji
chorus
king’ora kimelia ,kimelia …kimelia x2
king’ora kimelia ,kimelia …kimelia x2
kazi za shetani zimeshaharibiwa x3
verse 2
nastahili amani , nastahili furahaa
langu ni k-mwamini, lake na mimi kukaa
pasipo yeye msalabani ,huk-mu ile ingetufaa
situmikishwi na gonjwa tangu yesu nilivyo muonja
linapokuja shida , naliita jina
you call 911, kwako ni kawaida
tatizo sio ajali, nimikakati tu ya shetani
ila mungu ndiye anayetujali
mlio huu usikika hata kwa aliyejificha
ufunuo wa moyoni unaonekana kama picha
inatangaza usalama aliye muaribifu basi aanze kuama
mteule ulipendwa, ni dhaifu mwenyewe ajiwezi
mwokozi ndiye bima, kwenye utetezi
ukielewa habari njema, wala usikaidi
muamini bwana ili upate tumaini
chorus
king’ora kimelia ,kimelia …kimelia x2
king’ora kimelia ,kimelia …kimelia x2
kazi za shetani zimeshaharibiwa x3
outro
wakristo
isaiah 61 :1, wakristo
kimeliaa
Random Lyrics
- jubilee – на всех языках (in all languages) lyrics
- kidd (dk) – kælker lyrics
- lil uzi vert – i don’t know nuffin lyrics
- bones – mortuary lyrics
- red tape diaries – awards show lyrics
- zilo e zalo – grande esperança lyrics
- bobby fletcher – mittwochabend lyrics
- wheeler walker jr. – ain’t got enough dick to go around lyrics
- titan debirioun – the world is mine lyrics
- pa sports – so weit weg lyrics