haitham kim – sema lyrics
Loading...
we ndo ulifanya najiuliza
wapi napata wakuntuliza
nafsi ya moto hupuliza
penzi ni moto ukaniunguza
bila kujali kama nami ni binadamu
imenipotea hamu
ila kihali salama nakula vitamu
usijesogea kw+ngu
tena fata yako njia ya kawaida
sito come sito come kwako na
shida sina ya kupendwa na weii
uu baby
no no no shida sina hamu sina kitu cha kuagiza wala cha kuhongwa na weii
nilikuuliza kama nafaa au sifai sema
ungenieleza kama sifaiiii kuwa wako
Random Lyrics
- chalant – what they want lyrics
- wabie – juke box queen lyrics
- fettuccines – pausa para um café lyrics
- mighty sparrow – raphaela lyrics
- b jyun – home. lyrics
- zanoletti – oki nel latte lyrics
- cass luigii & andrsn ck – diesel lyrics
- giovanni ullu – terzo tempo lyrics
- royalingo – spotlight lyrics
- naleac – without you lyrics