harmonize – atarudi lyrics
[verse1]
na ye ni mwanadamu, na dunia tunapita
kama kupata kwa zamu, oooh zamu, yangu itafikaa
siwezi kana damu, kesho wataja nizika
ila ningependa afahamu, haya mateso aloniipa
[bridge]
mmmh.! tena mwambieni aloninyima mimi, ndio kampa yeyee eeeh
kupata foleni, nasubiri yangu mimi, hata icheleweeeeh
[pre-chorus]
oooh oooh ooooh
sina furaha naigiza ilimradii, watoto wasijihisi vibaya
huyu mdogo anauliza eti daddy, mama ameihama kaya
cha kujibu sina nabaki tu kusemaaaaa
[chorus]
atarudii, atarudi mama
atarudi, anawapenda sana
atarudi, atawaletea zawadi
atarudi, eeeeh atarudi mama
atarudi, atarudi mama
atarudi, anawapenda sana
atarudi, atawaletea zawadi
atarudiiiiih
[verse 2]
siwezi sema sijui tatizo, hali yangu duni imefanya ukanikimbia
ni vyema ungefanya maigizo, mara k-mi usingenizalia
mmmh, ingali mapenzi pekee, ningesema ni changamoto nijifunzee
ameniacha mpwekeee, na watoto niwatunze
eeeh,ila siwezi laumu, aaaaaaah,wenda yupo sawa, aaaah
kipato changu kigumu,aaaaah, kutwa bumunda na kahawa, aaaah
[bridge]
eeeh.! ila mwambieni aloninyima mimi, ndio kampa yeyee eeh
kupata foleni, nasubiri yangu mimi, hata icheleweeeeh
[pre-chorus]
oooh oooh ooooh
sina furaha naigiza ilimradii, watoto wasijihisi vibaya
huyu mdogo anauliza eti daddy, mama ameiaga kaya
cha kujibu sina nabaki tu kusemaaaaa
[chorus]
atarudii, atarudi mama
atarudi, anawapenda sana
atarudi, atawaletea zawadi
atarudi, eeeeh atarudi mama
atarudi, atarudi mama
atarudi, anawapenda sana
atarudi, atawaletea zawadi
atarudiiiiih
ohh my god it’s beta sound
Random Lyrics
- lil’ mo – superwoman (instrumental) lyrics
- cranium lyrics lyrics
- bonnie “prince” billy – blueberry jam lyrics
- selas – mc fly lyrics
- zé neto & cristiano – se organizar todo mundo beija lyrics
- auden (usa) – never been in love lyrics
- les ogres de barback – les amants sans nuits lyrics
- natewantstobattle – it must really suck to be four year strong right now lyrics
- lylbooo – fxked up lyrics
- rise against – like the angel (ghost note symphonies) lyrics