hotsea – lms (lil ms sunshine) lyrics
Loading...
[intro]
anasema umemnywaku vibaya
tukishamaliza kenya tuende ulaya
mo faya tukifika jupiter (lms)
am no liar
[chorus]
uliumbwa kwaumbika
ndio maana ukipita waumiza
shingo za mafala hata bila kuuliza
kimaisha wee lupita
(star kila time ungedhani ni mona)
uliumbwa kwaumbika
ndio maana ukipita waumiza
shingo za mafala hata bila kuuliza
kimaisha wee lupita
(star kila time ungedhani ni mona lisa)
[verse]
yes you
ni wee nabonga kuhusu kwa hii ngoma
najua saa hii si vigume kuniona
ni vyema kuelewa kuwa sina homa
na vitu zingine lazima utatoa
iwe bra ile poa
lazima utatoa ka nitakuoa
kwa mtaa siku hizi wananiita mower
coz saba ukichora
mi huch-m-wa panga kisha ninanoa…
Random Lyrics
- king khalil – bullenschweine lyrics
- young zeep – pezzi di cielo lyrics
- andrés (aparicio) – la habra lyrics
- herra hnetusmjör – klakar lyrics
- contrafluxo – centro da tempestade lyrics
- loco – the river lyrics
- patrick sweany – two or three lyrics
- בועז שרעבי – shamayim – שמיים – boaz shar’abi lyrics
- brenda almeida – all of the wonder lyrics
- bienvenidos a adorar – no quiero soñar más lyrics