azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

ibraah – hayakuhusu lyrics

Loading...

[paroles de hayakuhusu”]

wewe, aah aah ah
haukutaka kulea, wakati unalelewa
lazima uvunjie watu wazima heshima
punguza mazea unajifanya una+care
wakati umemtelekeza fahima

achana na walokutangulia
wakati kesho yako hujui itakw+ngukia
unaweza wasafi ukatimuliwa
na konde gang ukaja kusign+iwa

unashindana na mwanajeshi
ambaye vita aliianza baba yako (na hawezi)
msalimie kipa la ndezi
mwambie hata akikesha kwa sango (hatuhami mbezi)

nyimbo kaimbiwa kajala
karauka na kupwita pwita
acha papara aah wee
naskia unachimba mikwara
hauna chochote wewe buma chakula ah wewe

mapenzi ya konde na kajala
yanakuhusu nini kaka wee (hayakuhusu)
hata wakiongea video call
na paula lakini si mwanae (hayakuhusu)
we njoo ukomae na muziki (hayakuhusu)
ona kina chinga tunahit (hayakuhusu)
ah tumeanza jana hatushikiki (hayakuhusu)
umeona sound from africa haisikiki, imebuma wee…

mambo ya kuhonga waandishi wa habari
nyi mmezoea tunawajua
hata youtube zеtu mnapochokonoa
si tunawajua, tunawajua

kama vipaji mnavyo, sa wivu wa nini?
tufanye kazi na tusonge mbelе
kama vipaji mnavyo, na mnajiamini
ya nini sasa kupiga kelele

eeh akina lokole, si wanawapost
sababu ndio machawa wao, ndio machawa wao
kila siku anawapromote
leo asikose ladha, ooh ladha ooh

ah chondelei mrudie fahima ukamtunze mwanao
yasiwe ya mzee abdul na nasibu
k+mbuka kujinyima usimsahau mwanao
baadae akutunze usije pata aibu

mapenzi ya konde na kajala
yanakuhusu nini kaka wee (hayakuhusu)
hata wakiongea video call
na paula lakini si mwanae (hayakuhusu)
we njoo ukomae na muziki (hayakuhusu)
ona kina chinga tunahit (hayakuhusu)
ah tumeanza jana hatushikiki (hayakuhusu)
umeona sound from africa haisikiki, imebuma wee



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...