ibrah nation – unitoke lyrics
k-mbato na busu
ndio vyakunidanganyia
nami niamini napendwa kwenye dunia
je nikigeuza shingo unanifikiriaga?
mbona nikipiga sim hutak kupokeaga!
sina dhamana
sijakuzaa
unamaamuzi yako
k-mpenda anaekufaa
ningejaliwa mali
ningekupa
usiwaze mwingine tena
unipende tuu mi dada
umenikoleza na nimekolea
nikajua moyo utatulia
kwenye jamvi yeah
sikuja kwako mi nije kulia
niliona furaha dear
nikaweka kambi yeah
nitafanya ninachoweza
(ili unitoke kwenye akili yangu)
na moyo w-ngu
(unitoke)
kama muda nimeshapoteza
(ili unitoke kwenye akili yangu)
na moyo w-ngu
(unitoke)
unitokeee
siwez kujidanganya
najua wanichanganya
mwenzangu amenizidi utundu
huwa nakuona
mara nyingi ukiongea nae
natamani nianzishe mavurugu
sina dhamana
sijakuzaa
unamaamuzi yako
k-mpenda anaekufaa
ningejaliwa mali
ningekupa
usiwaze mwingine tena
unipende tuu mi dada
umenikoleza na nimekolea
nikajua moyo utatulia
kwenye jamvi yeah
sikuja kwako mi nije kulia
niliona furaha dear
nikaweka kambi yeah
nitafanya ninachoweza
(ili unitoke kwenye akili yangu)
na moyo w-ngu
(unitoke)
kama muda nimeshapoteza
(ili unitoke kwenye akili yangu)
na moyo w-ngu
(unitoke)
unitokeee
Random Lyrics
- bubblegum lemonade – looking to the sun lyrics
- dinah washington – again lyrics
- exo – 가끔 (with you) lyrics
- los eleven – llámame lyrics
- joaquín sabina – siete crisantemos lyrics
- liza minnelli – what did i have that i don’t have? lyrics
- yak mag – bushido lyrics
- winner – past days lyrics
- d. kullus – run away lyrics
- freddie dredd – wont go far lyrics