jabali afrika, justo asikoye – malaika wangu lyrics
nakupenda
nilipokuona mara ya kwanza
nilikupenda
urembo wako tabia
huku kote wasifika
tabasamu sura nzuri
umbo wa kupendeza
bidii zako heshima
zaenda sambamba
malaika w+ngu
nakupenda
sura yako nzuri
ni maua ya kupendeza
malaika w+ngu
nakupenda
sura yako nzuri
ni maua ya kupendeza
malaika
nakupenda, ehh
naomba unipe fursa
nikujue vizuri mpenzi
niwajue wazazi
familia yako yote
unipe fursa ni kutunze
najua siko kamili
nitajaribu mpenzi
utabasamu maishani mwako eeh
malaika w+ngu
nakupenda
sura yako nzuri
ni maua ya kupendeza
malaika w+ngu
nakupenda
sura yako nzuri
ni maua ya kupendeza
ooh, hey, ooh, malaika
ooh, nakupenda, ooh, ehh
sura yako nzuri (ehh)
ni maua ya kupendeza (ehh)
malaika w+ngu (w+ngu)
nakupenda (nakupenda)
sura yako nzuri (hehh)
ni maua ya kupendeza
Random Lyrics
- neatboyfriend – ultrasonic lover lyrics
- abra cadabra – big flick (freestyle) lyrics
- corporate death party – planet obama lyrics
- bori “la estrella” – negro lyrics
- yung lixo – mazda medusa lyrics
- the mode – is it a gun lyrics
- miss kaniyah – invest lyrics
- serginho herval – simples lyrics
- sol hardy – from sorrow, the foundation lyrics
- memories of tomorrow – stuck lyrics