jabali afrika – mashindani lyrics
walimwengu wana mambo
kunao wa kujenga
wakubomoa hawakosi
wasiopenda maendeleo
desturi su su su su
mwenzako kakosa nini
na mbona k+mchimba
mwenzako kafanya nini
na mbona kujipima
kusema watasema (watasema yee)
mwisho watachoka (watalala)
misemo haiui (eyeyeye)
ni baraka (aaaah)
kusema watasema (watasema yee)
mwisho watachoka (watalala)
misemo haiui (eyeyeye)
ni baraka (aaaah)
jirani kanunua gari
na wewe kanunua
mashindani ni ya nini
shughulika na yako
baraka tofauti
haziwezi kufanana
sisi zote tofauti
muumba katuumba
hatuwezi kufanana
kusema watasema (watasema yee)
mwisho watachoka (watalala)
misemo haiui (eyeyeye)
ni baraka (aaaah)
kusema watasema (watasema yee)
mwisho watachoka (watalala)
misemo haiui (eyeyeye)
ni baraka (aaaah)
kusema watasema (watasema yee)
mwisho watachoka (watalala)
misemo haiui (eyeyeye)
ni baraka (aaaah)
kusema watasema (watasema yee)
mwisho watachoka (watalala)
misemo haiui (eyeyeye)
ni baraka (aaaah)
kusema watasema (watasema yee)
mwisho watachoka (watalala)
misemo haiui (eyeyeye)
ni baraka (aaaah)
Random Lyrics
- umpfel – all the girls think i’m so hot lyrics
- blizzen – world in chains lyrics
- eric clapton – just walkin’ in the rain lyrics
- nino man – middle fingers up lyrics
- ikinä – viinalaulu lyrics
- jet trouble – leave la lyrics
- leon patillo – blessed are you lyrics
- bruno, o foda – flutuando – radio edit lyrics
- rt3 jahem – rt3 (part 3) lyrics
- tóy tóy t-rex – duvidava lyrics