james jozee - zilizopendwa lyrics
[intro]
nipe mapenzi
nitahadharishe
huba hakika
mapenzi yapo
ama hamna
chorus:
nakupenda
ka zilizopendwa
kama bango
rumba
na benga x 2
verse 1:
rumba wewe si mtumba
ntakutunza kama kidole cha gumba
kisha nikuweke ndani ya nyumba
ntakufunga kiunoni
ntakuweka moyoni
penzi letu hakika halitotoweka
chorus:
nakupenda
ka zilizopendwa
kama bango
rumba
na benga x 2
verse 2:
bango
wewe ni mtamu
njoo tucheze wawili kwa nidhamu
taratibu wewe ni w-ngu kamili
ntakufunga kiunoni
ntakuweka moyoni
penzi letu hakika halitotoweka
chorus:
nakupenda ka zilizopendwa
kama bango
rumba
na benga x 2
verse 3
wewe binti nakupenda kama benga
utamu wako
uliniahidi hutanilenga
hutanitenga eeei eiii
wewe binti ooh nakupenda kama benga
[outro]
mapenzi ni nadra siku hizi
kuna matapeli na waizi
lakini wewe ni w-ngu saa hizi
na wimbo hii ni yako kabla huj-pata usingizi
Random Lyrics
- imani the hooligan - beatz pill [rough] lyrics
- yeezuz2020 - gold chain lyrics
- shahin najafi - hameh ja keshid lyrics
- ron browz - she don't like me (remix) lyrics
- caneda - la bella e la bestia lyrics
- cardnl - ochre lyrics
- hayehudim - היהודים - hofshi - חופשי lyrics
- will roush - bruh bruh lyrics
- el trono de méxico - esto no va ms all - 2114257 lyrics
- mutemath - fine after all lyrics