james jozee – zilizopendwa lyrics
[intro]
nipe mapenzi
nitahadharishe
huba hakika
mapenzi yapo
ama hamna
chorus:
nakupenda
ka zilizopendwa
kama bango
rumba
na benga x 2
verse 1:
rumba wewe si mtumba
ntakutunza kama kidole cha gumba
kisha nikuweke ndani ya nyumba
ntakufunga kiunoni
ntakuweka moyoni
penzi letu hakika halitotoweka
chorus:
nakupenda
ka zilizopendwa
kama bango
rumba
na benga x 2
verse 2:
bango
wewe ni mtamu
njoo tucheze wawili kwa nidhamu
taratibu wewe ni w-ngu kamili
ntakufunga kiunoni
ntakuweka moyoni
penzi letu hakika halitotoweka
chorus:
nakupenda ka zilizopendwa
kama bango
rumba
na benga x 2
verse 3
wewe binti nakupenda kama benga
utamu wako
uliniahidi hutanilenga
hutanitenga eeei eiii
wewe binti ooh nakupenda kama benga
[outro]
mapenzi ni nadra siku hizi
kuna matapeli na waizi
lakini wewe ni w-ngu saa hizi
na wimbo hii ni yako kabla huj-pata usingizi
Random Lyrics
- hoodie allen – remind me of lyrics
- brainstorm – how much can you take lyrics
- wyga – #hot16challenge lyrics
- devin x – hit the scene lyrics
- jack the smoker – burial lyrics
- arozles coepsi – i’ll be that nigga lyrics
- petal – tommy lyrics
- andy-un – dale lyrics
- alfa 8 – gps lyrics
- give me five prod – la poignée de punchlines lyrics