jay melody – sawa lyrics
jay once again
mapenzi tu
nimepagawa hamjui
ye kila mara ananifanya silali
namwaza yeye tu
anayeweka roho yangu juu
ana utoto tu
sema uzuri ananipaga asali
mi nailamba tu
na penzi letu ni kama sunna
na ulinzi kama suma
hata akinuna
bado unapendeza mchumba
mkimuona ananichuna
msinionee huruma
cha mtu huliwa na mtu
kutu yake chuma
basi mwambieni nampenda
sawa, sawa, sawa
ah mwambie mi nampenda
yes (sawa) right (sawa) sawa
huo utamu hasa nikiingia
akifungua gate naingia
akipanua neti naingia
na wala sikwepeshi naingia
sina akili ya kuchange idea
hapo hapo nimemng’ang’ania
hapo hapo nimeshikilia
na visokorokwinyo mtaumia, naahaa
kwa hakika haya mapenzi
kusema kweli, yataniua
kwa hakika haya mapenzi
kusema kweli, yataniua
na penzi letu ni kama sunna
na ulinzi kama suma
hata akinuna
bado unapendeza mchumba
mkimuona ananichuna
msinionee huruma
cha mtu huliwa na mtu
kutu yake chuma
basi mwambieni nampenda
sawa, sawa, sawa
ah mwambie mi nampenda
yes (sawa) right (sawa) sawa
Random Lyrics
- splitzismyname – monster jam lyrics
- rxyne – situationship lyrics
- the great republic of rough and ready – god gave noah the rainbow sign lyrics
- ivan madeira – molhinho de quiabo lyrics
- yebarow – pitbull lyrics
- mercy chinwo – confidence lyrics
- voces del rancho – el hijo de la sierra lyrics
- boris dzaneck – inside the outside lyrics
- lisawanderlust – idgaf lyrics
- chris rain – walk away lyrics