jerebet – na ijulikane kuwa, upo lyrics
verse one
wanataka dhibitisho
hawasomi maandiko
hawaamini wokovu wake kristo
aliyotupa kwa bure
alikuja duniani, wakamkana
kafuf+ka zimuni, wakaficha story
alitenda miujiza, lakini bado, they said no!
chorus
nimekuona kwa macho yangu, masikio yangu
na ijulikane kuwa
nina ushuhuda maishani mw+ngu
na mabeshte w+ngu
na ijulikane kuwa
upo
na ijulikane kuwa
upo
na ijulikane kuwa
upo
na ijulikane kuwa
na na na na na na
verse two
mungu amejionesha, kila mahali, kila wakati yeah, ye yuko nami, yeah
hata kama hatumuoni yeah
ukimtafuta utampata
twapotea kwa mioyo yetu, giza zetu, yeah
katuumba kwa sura yake, katupa ufahamu wake
twamwakilisha duniani kote
ndani yetu yu hai
chorus
nimekuona kwa macho yangu, masikio yangu
na ijulikane kuwa
nina ushuhuda maishani mw+ngu
na mabeshte w+ngu, yeah
na ijulikane kuwa
upo
na ijulikane kuwa
upo
na ijulikane kuwa
upo
na ijulikane kuwa
bridge
pumzi yako iko kwa kila kitu
jua lako laangaza kila siku
(pumzi yako eeh) pumzi yako iko kwa kila kitu
(na jua lako yeah!) jua lako laangaza kila siku
chorus
nimеkuona kwa macho yangu, masikio yangu
na ijulikane kuwa
nina ushuhuda maishani mw+ngu
na mabeshte w+ngu
na ijulikanе kuwa
upo
na ijulikane kuwa
upo
na ijulikane kuwa
upo
na ijulikane kuwa
Random Lyrics
- chris crocker – deep end lyrics
- $hirak – als je bij me blijft lyrics
- pardyalone – not a home lyrics
- sdrk – hoşçakal lyrics
- rana plastic bubbles – kraków angels lyrics
- létsi – afraid lyrics
- mono zabaleta – borracha por mi lyrics
- deep tan – rudy ya ya ya lyrics
- ck the rapper – interlude lyrics
- isaac – day dứt nỗi đau lyrics