jerebet – sifai…wanipenda lyrics
verse 1:
ni rahisi kujidharau
mimi ni wa dhambi sina, nguvu
kweli mi ni rafiki wako, yesu?
sifai (fai), fai (fai), fai (ooh)
sifai (fai), fai (fai), fai
nang’ang’ana kunena ukweli
nashangaa ananitumia, (mimi? yeah)
shida ni najua mapungufu, yangu
sifai, (fai), fai (fai), fai (ooh)
sifai (fai), fai (fai). fai
chorus
kwa neema yako, haki yangu ni bure
kwa rehema zako, mimi nimekombolewa
nami najivunia, kwa imani si matendo
kwani wanipenda (penda), penda (penda) , penda (ooh)
na wanipenda, (penda), penda (penda), pendaaa
verse 2:
nimekuja kujua nimejiangalia sana
nikidhani ni uwezo w+ngu sio wako bwana
nikajikwamiza nikibeba mzigo
eti sina, roho, mfanano wako!
kajua ni adui na uongo, uongo
kama wakati wa adamu na hawa
hata kama musa alijishuku alitenda makuu ya yesu
ooh,ooh,ooh
ya yesu, ya, ya yesu
ooh, ohh, yeahhh
ya yesu, ya, ya yesu
yeah!
chorus:
kwa neema yako, haki yangu ni bure
kwa rehema zako, mimi nimekombolewa
nami najivunia, kwa imani si matеndo
kwani wanipenda (penda), penda (pеnda) , penda (ooh)
na wanipenda, (penda), penda (penda) , pendaaa
bridge:
hakika, wema nazo fadhili, yeah
zitanifuata mimi
nitakaa nyumbani mwa bwana
siku zote za maisha yangu, oooh
chorus:
kwa neema yako, haki yangu ni bure
kwa rehema zako, mimi nimekombolewa
nami najivunia, kwa imani si matendo
kwani wanipenda (penda), penda (penda) , penda (ooh)
na wanipenda, (penda), penda (penda) , pendaaa
wanipenda, penda, penda
wanipenda, penda, penda…
Random Lyrics
- mussa – batalha de youtubers: mussoumano vs bambam lyrics
- tasha layton – catch my breath lyrics
- albert west – send me the pillow lyrics
- stayc – blackpink – 뚜두뚜두 (ddu-du ddu-du) (cover) lyrics
- pal secam – cierp lyrics
- the cat’s whiskers – ride out lyrics
- ergo phizmiz – mystic meg lyrics
- youngboy never broke again – dead opps lyrics
- is0kenny – say yeah lyrics
- dylan andre – i said lyrics