azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

jeshi (ke) – bash kejani lyrics

Loading...

[intro: oloso]
oh, na, na, na, na, na, na
(bash imekua ikiendelea)
oh, na, na, na, na, na, na
(but sijui ni nini wanakujanga, there is just, like, a bash)
oh, na, na, na, na, na, na
oh, na, na, na, na, na, na
oh, na, na, na, na, na, na (kuna bash kejani)
(wasichana na vijana wanakuja, wanashikana, wanaingia, hapa)
oh, na, na, na, na, na, na
oh, na, na, na, na, na, na (kuna bash, kuna bash, kuna b#)

[pre#hook: oloso]
utapitia dirisha
kuna bash kejani, bash kejani (kuna bash)
kaa umeboeka mtaa
kuna bash kejani, bash kejani (kuna bash)
ata wambui na wanja (ata [?])
wako bash kejani, bash kejani (wako bash)
na mamboko wamejaa
wako bash kejani, bash kejani (wako bash)

[hook: oloso]
nasema bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani

[verse 1: andybolo]
bash imeshika na iko kejani
funga mlango, watu wote wako ndani
mi sitaki tumefunza kina nani
lakini kama ni madem, waingie ndani
na ni mamzinga zimejaa, tuko flow, eh
na zimeshika, zime#nice zikitusho, eh
wale wasoro wamepitia diro, eh
ukik#mbuka, hivo ndio tuliwasho, eh

[pre#hook: oloso]
utapitia dirisha
kuna bash kejani, bash kejani (kuna bash)
kaa umeboeka mtaa
kuna bash kejani, bash kejani (kuna bash)
ata wambui na wanja (ata [?])
wako bash kejani, bash kejani (wako bash)
na mamboko wamejaa
wako bash kejani, bash kejani (wako bash)

[hook: oloso]
nasema bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani

[verse 2: bh]
kuna bash kejani, kuna bash kejani, ati
leta nare ndio niwashe kingale, ati
ikiwaka, basi shika kibale, ati
mdogo mdogo, usijaze kitambi
juu ziki#slap, ziki#slap, basi kunywa kimaji, ay
leta moto ndio niwashe majani, ay
weka kachai na useti sukari, ay
(weka kachai na useti sukari, ay)

[pre#hook: oloso]
utapitia dirisha
kuna bash kejani, bash kejani (kuna bash)
kaa umeboeka mtaa
kuna bash kejani, bash kejani (kuna bash)
ata wambui na wanja (ata [?])
wako bash kejani, bash kejani (wako bash)
na mamboko wamejaa
wako bash kejani, bash kejani (wako bash)

[hook: oloso]
nasema bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani

[verse 3: oloso]
leo tulikuwa na bash kejani
watoto ndani, hadi walami
lakini si unajua sisi kina nani?
wale mamorio wa huku mtaani
okay, kuna nduru gizani
pia nimekataa kutoa miwani
maswali mingi, achia afande
jina ni solo, uliza mandem

[hook: oloso]
nasema bash kejani, bash kejani (oh, na, na, na, na, na, na)
(oh, na, na, na, na, na, na) kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (oh, na, na, na, na, na, na)
(oh, na, na, na, na, na, na) kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (oh, na, na, na, na, na, na)
(oh, na, na, na, na, na, na) kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (oh, na, na, na, na, na, na)
(oh, na, na, na, na, na, na) kuna bash kejani



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...