jessica honore – ni yesu lyrics
Loading...
alie ianzisha kazi ndani yangu, ndie atakae timiliza aaa!
hatoacha hata mguu w-ngu usogezwee!,
maana -n-lilinda kusudi lake
hata ndugu wakiniacha yeye yupo nami
marafiki wakinitenga yesu yupo nami (×2)
kama uko kinyume nami
jua uko kinyume naye,
maana sikujiita mi,
alie jiita ni yeye
tumaini langu, yesu
uzima w-ngu, yesu
ushindi w-ngu, yesu, yesu, yesu
haijalishi ni mda gani umezunguka
jangwani ni pakavu, pana ukame
ahadi ya mungu kwako itatimia
usipokata tamaa, moyo kuzimia
wanasimba hutundikiwa wakuona njaa, bali watoto wa mungu hawatundikwi
Random Lyrics
- farruko – explícale lyrics
- agatha christa – nyanyian hujan lyrics
- stanton warriors – colima lyrics
- tiara – 陽炎 lyrics
- playboi carti – half & half lyrics
- morrissey – spent the day in bed lyrics
- el dasa – versión banda lyrics
- the killers – tyson vs douglas lyrics
- invitation music – we believe lyrics
- mr eazi – accra to lagos lyrics