josco boy – usikate tamaa lyrics
yeaaah … josco boy
hapa duniani hakuna aliye kamilika
hapa duniani hakuna aliye kamilika
hujuwi ya moyoni mw+ngu
sijuwi ya moyoni mwako
niamini binadamu awana jema
nimeamini binadamu uuh
awana jemaa aah ooh
usikate tamaah ..aah
usikate tamaah aaah! (usikate tamaah)
usikate tamaah yooh (usikate tamaah)
usikate tamaah
maisha yetu magumu
atuna hata nafuu
atuna mda wakupumzika
atuna hata nafuu ooh
usikate usikate tamaah aah
(usikate eeeeh)
usikate usikate tamaah
maisha sote tunahangaika
jamani maisha sote
tunahangaika jaman
usikate usikate tamaah aahi
waone vijana wanavyo pambana
wamechoka wamechakaah
onah maisha yanavyo tisha
ona wenye tamaah wameshazikwa
ona wenye tamaah wameshazikwa
ali sio swari kabisa!
acha kujizarahauh achana na
maneno majungu
ali sio swari kabisa
acha kujizarahauh achana na
maisha safari ndefu
achana na maneno majungu
hapa duniani hakuna aliye kamilika
hapa duniani hakuna aliye kamilika
usikate usikate tamaah aah
usikate usikate tamaah aah
maisha sote tunahangaika
jamani maisha sote tunahangaika
jama + usikate usikate tamaah
Random Lyrics
- death by daylight – new city man lyrics
- ya tosiba – in muğam lyrics
- тіна кароль (tina karol) – kolomyika lyrics
- doodie lo – smurkio flow lyrics
- sadek – le zin lyrics
- itsaedanhill – live like this forever lyrics
- obongjayar – just cool lyrics
- aquihayaquihay – 1 de 100 lyrics
- christian reif & julia bullock – city called heaven lyrics
- anthony “bava” robinson – kravings lyrics