jovi’al – tantarira lyrics
excuse me
nimepata kampenzi
ananipa raha nyingi
na kunienzi
excuse me
nimepata kampenzi
ananipa raha nyingi
na kunienzi
jamani wee, unanijulia
kila nitakacho mimi wanipatia
jamani wee, unanijulia
kila nitakacho mimi wanipatia
hujachelewa chelewa, mimi ni wako
umenogewa sitoki kwako
hujachelewa chelewa, mimi ni wako
umenogewa sitoki kwako
umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah
umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah
hapendi nikiwa na stress
anapenda nikitabasamu
anipa mapenzi moto moto
hapendi nikiwa na stress
anapenda nikitabasamu
anipa mapenzi moto moto
anajua kunipa ham
mwishowe matam tam
hajafeli ni wa ukweli
napata daily
yeyе kw+ngu ni daktari
tiba yake nakubali
hajafeli ni wa ukweli
napata daily
jamani wee, unanijulia
kila nitakacho mimi wanipatia
jamani wee, unanijulia
kila nitakacho mimi wanipatia
nimеshiba sina njaa
kila siku raha
kwake si karaha
ananipenda kila saa
sitomnyanyanya paa
popote tutapaa
hujachelewa chelewa, mimi ni wako
umenogewa sitoki kwako
hujachelewa chelewa, mimi ni wako
umenogewa sitoki kwako
umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah
umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah
Random Lyrics
- codermedia – scp-4999 song (extended version) lyrics
- itro – wide awake lyrics
- ебанько (eban’ko) – секс в ванной (sex in the bathroom) lyrics
- buck owens & susan raye – home on christmas day lyrics
- ture – highest guy lyrics
- stillbirth – tribunal of penance lyrics
- l’don (fra) – jaguar sur la calandre lyrics
- tommy gunn – dancing in the rain lyrics
- wxrdie – straight outta quan hoa lyrics
- g herbo – watch me ball, pt. 2 lyrics