just a band – ha he lyrics
[intro]
microphone check one, one two
[verse 1]
ukiwasha nare mathare ‘taonja vibare
mi si mnati, si babi, niko tu katikati
staki kuskiza story za charity, charity
nipe wings ni-defy-fy gravity, gravity
sema oh
[hook]
juu tuko works mzeiya
evacuate the area
juu tuko works mzeiya
[verse 2]
serikali haijali
so naona mbwa kali afadhali
dame amejam juu dough haikam
na siwezi k-m-show ati life ni exam juu
ntatupiwa sufuria
na hizo ni aibu ndogo ndogo mi sipendi
so nikikupita tao, tao
jua sio madharau-rau
[hook]
juu tuko works mzeiya
evacuate the area
juu tuko works mzeiya
[verse 3]
nipe, nipe nafasi
nikueleze kiasi
vile sisi hufanya
pande hii ya the tracks
hatuchezi na kazi
usipoteze wakati
tumekunja mashati
[hook] x5
juu tuko works mzeiya
evacuate the area
juu tuko works mzeiya
Random Lyrics
- opgezwolle – ritmen lyrics
- al guap – i don’t like remix lyrics
- leslie grace – day 1 lyrics
- cyhi the prynce – feet up lyrics
- bilon – sierpniowe niebo lyrics
- skittles – in for me lyrics
- kobra – pakiet bezpieczeństwa lyrics
- uno hype – olde english lyrics
- bengala – 16 lyrics
- andy burrows – somebody calls your name lyrics