
k son rap - ndoto ya mchana lyrics
[intro]
yeah ksonrap
this one right here is for the people
yeah, let’s go
[verse]
ajira hakuna tunasuk+ma mikokoteni../wanasiasa baada ya kampeni wameingia tu mitini../bila hata kandili wametuacha tu gizani../kila kitu wametupiga pini wanasingizia vita vya ukreini/vitu vinapanda bei madukani..nachokisema nikweli wala sio utani../mfanya biashara wan+z+funga tu mizani../shekhe msikitini anakosa hela yakununua hata ubani../hakuna anaetoa sadaka kanisani hatuna hata mbuni../hakuna madawati watoto wanakaa chini mashuleni../sare zao zimetoboka matakoni../wabunge wao wanasinzia tu bungeni..wametuacha kwenye mataa hali duni../wanaishi zao tu mijini tuvyoishi ni kama mateka tu vitani../hakuna madawa hospitalini majisafi hayatoki mabombani../wanapitisha tu kokeni mateja wan+z+di tu kujaa uswahilini../hadi lini? magendo yanapita tu bandarini../hatupo hata makini wanasafirisha makinikia watuambia sio madini../nyie kopeni siegii anatuambia yanaongezeka tu madeni../watetezi wote wapojela wanakesi za uhaini../waliponea chupuchupu walikimbilia uhamishoni../
Random Lyrics
- niomi (autemn) - port town usa lyrics
- jupiterkami - rocket ready lyrics
- tora (@1toraa) - звезды (stars) lyrics
- gas station encounters - the mountain dew denier lyrics
- azazus - 5th yanko lyrics
- huta (이민혁) - 그대가 모르게 (secretly) lyrics
- pu18se - let it go! lyrics
- 苺咲べりぃ (maisaki berry) - silhouette lyrics
- smplman - deeply (relax & chill) lyrics
- krešo bengalka - komšiluk lyrics