![azlyrics.biz](https://azlyrics.biz/assets/logo.png)
k son rap - nitachana lyrics
(verse 1)
nitachana mpaka uzee kama sugu../wakiloga nitachana kwa ishara kama bubu../sitoacha nitachana kama rado kwenye kutu../kama stopa nitachana style zaidi ya tatu../nini tuzo nitachana kama nash msinipe ata buku../piga kiki piga snare mandavaku nitachana bila guitar bila dufu../nitachana kwenye nguzo na misingi bila promo za mabantu../gangsta nitachana kama guru../nitachana kiukombozi fikra ziwe huru../mkinipa mic nitachana mpaka ikulu../miaka tele nitachana kama salu..t/nitachana kama slouta wa majitu../mtoto wakiume nitachana kama geez mabovu../nitachana kama wembe wabaki na makovu../kitaani most wanted nitachana kama d kn+b..nitachana kama d rob../nitachana kino nitaibeba mabegani kama nyandu../nikiondoka mnik+mbuke kama dandu../nitachana kama lufu kwahizi kiki heavy kama lindu../hakuna chakuogapa chini ya mbingu../sitochana kuhusu chuki wala wivu../nitachana kiafrika kwa baraka za machifu.. masharifu.. mawalii manabii watukufu../turudi kwenye tamaduni zetu sasa ndo nachana deep kama mansulii kina kirefu../(“sinza sata”) rest in power mac2b
(verse 2)
nitachana kama s.og..buff g kiujamaa../nitachana kama solo thang kiulamaa..nitachana kama gangwe luten kalamaa../sitoogopa nitachana kishujaa..
nitachana kama cannibal na sharma../
nitachana kama zizzi lakuchumpa bei chee halina garamaa../nitachana kiprofessional kama fid../bila weed bila drugs nitachana kama chid../rasta bila dreadlocks nitachana kama mchizi mox../ghetto boy nitachana kama bibo climax../till i die nitachana canabino conboi..kwahizi tungo zenye stanza adim..nitachana kama sogydoggy kwenye kibanda cha cm../sina kikosi kama pina nitachana kama dogo hashim../yoo kibongo kinyamwenga nitachana kama saigon../.kama nature hili game taff kwеli.. nitachana kama raff nelly../back to the sua nitachana kama sight more../kama squeezеr kwa ubishi na hasira mimi naja nitachana kama d na k wamapacha../kwenye kipaza nitaubiri kama pastor../nitachana kama zuzu tmk kwenye kinasa..nitachana kama kwanza na kibacha../rivacamp nitachana kama bonta..jua likizama ndo nitachana kama nyota../
Random Lyrics
- bleecker chrome - starr lyrics
- rich amiri - rocky lyrics
- a perfect murder - wake up and die lyrics
- rocket berry - chill out lyrics
- bixi blake - varlığım flex* lyrics
- семьсот семь (seven hundred and seven) - мяу 2 (meow 2) lyrics
- jakprogresso - the blak order lyrics
- joão gomes - lembra lyrics
- alvic - intro lyrics
- doni & goody - малая (baby) lyrics