k son rap – nitachana lyrics
(verse 1)
nitachana mpaka uzee kama sugu../wakiloga nitachana kwa ishara kama bubu../sitoacha nitachana kama rado kwenye kutu../kama stopa nitachana style zaidi ya tatu../nini tuzo nitachana kama nash msinipe ata buku../piga kiki piga snare mandavaku nitachana bila guitar bila dufu../nitachana kwenye nguzo na misingi bila promo za mabantu../gangsta nitachana kama guru../nitachana kiukombozi fikra ziwe huru../mkinipa mic nitachana mpaka ikulu../miaka tele nitachana kama salu..t/nitachana kama slouta wa majitu../mtoto wakiume nitachana kama geez mabovu../nitachana kama wembe wabaki na makovu../kitaani most wanted nitachana kama d kn+b..nitachana kama d rob../nitachana kino nitaibeba mabegani kama nyandu../nikiondoka mnik+mbuke kama dandu../nitachana kama lufu kwahizi kiki heavy kama lindu../hakuna chakuogapa chini ya mbingu../sitochana kuhusu chuki wala wivu../nitachana kiafrika kwa baraka za machifu.. masharifu.. mawalii manabii watukufu../turudi kwenye tamaduni zetu sasa ndo nachana deep kama mansulii kina kirefu../(“sinza sata”) rest in power mac2b
(verse 2)
nitachana kama s.og..buff g kiujamaa../nitachana kama solo thang kiulamaa..nitachana kama gangwe luten kalamaa../sitoogopa nitachana kishujaa..
nitachana kama cannibal na sharma../
nitachana kama zizzi lakuchumpa bei chee halina garamaa../nitachana kiprofessional kama fid../bila weed bila drugs nitachana kama chid../rasta bila dreadlocks nitachana kama mchizi mox../ghetto boy nitachana kama bibo climax../till i die nitachana canabino conboi..kwahizi tungo zenye stanza adim..nitachana kama sogydoggy kwenye kibanda cha cm../sina kikosi kama pina nitachana kama dogo hashim../yoo kibongo kinyamwenga nitachana kama saigon../.kama nature hili game taff kwеli.. nitachana kama raff nelly../back to the sua nitachana kama sight more../kama squeezеr kwa ubishi na hasira mimi naja nitachana kama d na k wamapacha../kwenye kipaza nitaubiri kama pastor../nitachana kama zuzu tmk kwenye kinasa..nitachana kama kwanza na kibacha../rivacamp nitachana kama bonta..jua likizama ndo nitachana kama nyota../
Random Lyrics
- tessæ (fra) – quelques secondes lyrics
- warren hue – demo star lyrics
- final outlaw – machine 2009 lyrics
- motherflowers – qué quieres tú de mí? lyrics
- nfa trippa – koornang lyrics
- luis dh – todas esas cosas – nueva era lyrics
- floyd wonder – brunchfaced lyrics
- gur sidhu, jasmine sandlas & kaptaan – bamb aagya lyrics
- al jarreau – you touch my brain lyrics
- master joe & o.g. black – bailen, yackien lyrics