kay naksh – ndo basi tena lyrics
nilikuamini nikakupa moyoo
uwe akilini uniweke kwenye moyo
k+mbe hayawani una ulonayoo
ulichoamini nitakufa moyoo
kuna muda moyo w+ngu ulizama kwelii
sikujua mwisho w+ngu mapenzi kamariii
nimepata chaka langu ndio najivinjarii
natawala moyo w+ngu sitaki maswalii
wewe nisahau usinik+mbukeee
nimeshabadili namba bora uzifutee
ulinidharau kwa w+ngu upweke
ukajisahau tembo hashindwi mkonga wake
wewe ndio baa ndio baa ndio basii tenaaaa
ndio baa ndio baa ndio basii tenaaaa
ndio baa ndio baa ndio basii tenaaaa
ndio baa ndio baa ndio basii tenaaaa
kamwambie sina khaja nae kamwambie sina shida nae
kamwambie sina khaja nae kamwambie sina shida nae
limebaki jina jina aeehh limabaki jina na upendo sina
kamwambie sina khaja nae kamwambie sina shida nae
asiji fakharii asijifakharii
sio umbo wala sura vinavyotakiwaa
tena tafadhali mi sitaki sharii
kamwambie anikomee sitomrudiaa
aaaaa asijinadharii asijinadharii
ikiwa hana busara atajijutiaa
aaasijinadharii asijinadharii
ikiwa hana busara atajijutiaa
nimepata mwenzakooooh kashika nafasi yakooo
huliwezi huba zitoo mimi na nenepa mwenzakooooh
wewe ndio baa ndio baa ndio basii tenaaaa
ndio baa ndio baa ndio basii tenaaaa
ndio baa ndio baa ndio basii tenaaaa
ndio baa ndio baa ndio basii tenaaaa
kamwambie sina khaja nae kamwambie sina shida nae
kamwambie sina khaja nae kamwambie sina shida nae
limebaki jina jina aeehh limabaki jina na upendo sina
kamwambie sina khaja nae kamwambie sina shida nae
Random Lyrics
- canshaker pi – bandini lyrics
- clem27song – tonerre lyrics
- enjoy – witch craft lyrics
- pat boone – they can’t take that away from me lyrics
- sonreal – kidding myself lyrics
- the motorettes (where will my feet take me today?) – a very simple dance lyrics
- pedro sampaio – sal (part. pabllo vittar) lyrics
- ogr-scintilla – gloves off lyrics
- lil housy – versace lyrics
- glocki52 – on glocki mind lyrics