azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

khadja nin – damu ya salaam lyrics

Loading...

tangu iraki mpaka amerika
wako karibu yakufunga vita
mi mama mzazi nauliza
ni nani ata linda watoto wetu
bwana hussein anasema:
“nataka salaam”
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mw-ngiwa
ni ya wadogo na watoto tu
mimi huyu nakosa njiya
yakusikika kwa wakubwa
kwa hakika tulijioneya
vita ya kwanza ilizala fitina
bwana hussein anasema:
“nataka salaam”
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mw-ngiwa
ni ya wadogo na watoto tu
nakata matumaini
ju kwa vile naona
wakubwa hawajali macozi ya
mutu mudogo -n-liya wake
siraha ya amani ilikuta kwake
mr.clinton anasema:
“nataka salaam”
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mw-ngiwa
ni ya wadogo na watoto tu
mr.clinton anasema:
“nataka salaam”
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mw-ngiwa
ni ya wadogo na watoto tu



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...