khadja nin – damu ya salaam lyrics
tangu iraki mpaka amerika
wako karibu yakufunga vita
mi mama mzazi nauliza
ni nani ata linda watoto wetu
bwana hussein anasema:
“nataka salaam”
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mw-ngiwa
ni ya wadogo na watoto tu
mimi huyu nakosa njiya
yakusikika kwa wakubwa
kwa hakika tulijioneya
vita ya kwanza ilizala fitina
bwana hussein anasema:
“nataka salaam”
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mw-ngiwa
ni ya wadogo na watoto tu
nakata matumaini
ju kwa vile naona
wakubwa hawajali macozi ya
mutu mudogo -n-liya wake
siraha ya amani ilikuta kwake
mr.clinton anasema:
“nataka salaam”
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mw-ngiwa
ni ya wadogo na watoto tu
mr.clinton anasema:
“nataka salaam”
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mw-ngiwa
ni ya wadogo na watoto tu
Random Lyrics
- twiztid – orange lyrics
- stephen stills – crossroads / you can’t catch me (live) lyrics
- rossco stagg – who’s foolin’ who? lyrics
- trust (fr) – la luxure lyrics
- the black eyed peas – back 2 hiphop lyrics
- hakkybody – bodegalove lyrics
- yung pear – no time lyrics
- ms. peaches – alone lyrics
- marya – mariah (sano biz-area cronica) lyrics
- advocate – rebuke lyrics