azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

khaligraph jones – papa wemba lyrics

Loading...

[intro]
ayo astroyoufye
you know what time it is…
luigigotthesauce boy

[hook: khaligraph jones]
niko na form, nawakemba
nawa+bomb na ma+banger
niko zone, akuku denja
mi ni don, papa wemba

niko na form, nawakemba
nawa+bomb na ma+banger
niko zone, akuku denja
mi ni don, papa wemba

papa wemba, papa wemba
mi ni don, papa wemba
papa wemba, papa wemba
mi ni don, papa wemba

[verse 1: khaligraph jones]
papa wemba, cheki mrenga
bogibender, flow ni kwenga
dough za kemsa
niko ma+tender, niko matenga
hu’ bro ni mwenda
fika chambers, umo emba
zimeturunda ni ka ni december
na mi si minor, ju nime+njenga
punguza temper, heshimu bazenga
i had to man up, we had to gang up
to stack thеm bands up
nairobi stand up
respect the brand
i’m on dеmand
you know the plan
you understand
[verse 2: brand ub]
mi si punk, mi ni ghetto fabulous, n+gga
babu yao, mi ndio grandpa, usitaje refigah
toka enzi za ma+cassette, kwa game mi ni asset
kwa ma+dame mi ni chocolate, wembe? nacet
hapa una+deal na boss, boss
we don’t floss, kama e+sir tu ni “moss moss”
boy wa ghetto lakini vako za ki+soss+soss
kutesa kushinda ile mbogi ya wash wash
we’ve been making this cash, yeah
kabla hustle inspiration ni ki+shash+de
boy matata, boy m+rasta, boy smarta
signing out: brand ub, top shotta

[hook: khaligraph jones]
niko na form, nawakemba
nawa+bomb na ma+banger
niko zone, akuku denja
mi ni don, papa wemba

papa wemba, papa wemba
mi ni don, papa wemba
papa wemba, papa wemba
mi ni don, papa wemba

[verse 3: visita]
kwani ulidhani ni kina nani?
si ni wesonga na omollo
ukijifanya haujui chemshwa bongo
pigwa ngoto kwa kisogo
i never told you when i will be back+ hihi+hehehe!
’cause i’m with you till i die (forever)
with all these blessings that i got (amen)
i can only thank god
kuna mengi nimepitia [?] everything
i don’t give an f, i give a d na ni d for discipline
man i feel like i got this energy
like i can do anything
like i can just leta matata, like i can just rap this quick
kitu unafaa tu kujua, sita na khali ni chuma moto sana
na si eti kuchochana, tony montana
collabo ni gangsta sana
papa de wemba na master girimba
bibi amenuna, i hope ana mimba
nimeshika tembo na roho ya simba…
[verse 4: kenrazy]
the never peek on me, wanagwaya ku+speak on me
wa+retire, i’m still on it
mi nachoma, i’m spitting heat
kk: khali + kenrazy
kk: kali kiukweli
kk: kenyan kings
kk: kofia + kaptula
niko na mic, dame ana+nishow matiti, mi sonko
weapon ni mic, so sita+bite masikio ka tyson
kazi ni mic, mtanipenda forever ka jackson
kwa hii rap game ni+compare na mike, mi ndio the goat, jordo
wife yangu ndio dame msupa wako hutaka kukuwa
naosha ma+rapper wananipea kazi mingi, mi nafua
afadhali dictator kushinda mkabila we kama unajua, unajua
kama ikus, ukini+f+ck up bado utarudi tu kunishtua
razy form?

[verse 5: zakah]
heshima kwa wingi na+get
lazima mabinti wa+bend
amina n+z+di ku+trend
fitina, saliti, uko dead
rada napanda na pace
papa ana+murder hii case
nahanda madanda, behave
niko ganja na jaba na gauge
nakinda [?] kwa hood
jina pang’ang’a umekuf
trigger inakanga ma+fool
tapika unahara kwa loo
trouble mwenyeji, umedoze
nahandle machete na chrome
scandal na kesi za court
na bado nawa+take na flow
muda ni ya buda zakah
naunda, natunga sanaa
unga nask+ma masaa
tunza nafunza daras’
mzuka, nakupa ma+verse
ruka ukuta, ume+crash
zusha, nakuja na gang
shtuka umeamushwa na gang
zaga niliziacha before
kijana ni “kichwa kibov”
nachana mambichwa, ni dope
bishana unafinywa kitov, we!
vijana wanaandika wasia
chokora mapipa, career
dandora mnatupa ghasia
wakora wanawadunga, kimbia we!
[hook: khaligraph jones]
niko na form, nawakemba
nawa+bomb na ma+banger
niko zone, akuku denja
mi ni don, papa wemba

papa wemba, papa wemba
mi ni don, papa wemba
papa wemba, papa wemba
mi ni don, papa wemba

…typing..



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...