king kerby – ndoa lyrics
uko kwa ndoa nami whoa whoa whoa
uko kwa ndoa name yeah yeah
wakikuita, wakiuliza
usiogope, kuwaambia
uko kwa ndoa nami, uko kwa ndoa nami
oooh
wakikuita, wakiuliza
usiogope, kuwaambia
uko kwa ndoa nami, uko kwa ndoa nami
ooh
bado hatujajuana lakini manze inasemekana, kwamba mimi nawe, tunawezana
kwa hivyo njoo, tufunge biashara
nataka kuenda kwa mama, nataka kwa baba
nataka kupata baraka kwa baba, you don’t even know
how i be fighting for love every summer
natoa sadaka kwa mola, furaha kwa moyo, baraka, fanaka, faraja
nataka kuvuka daraja, vuka daraja, kutoka nairobi namanga
daresalaam to kampala, addis ababa, don’t see n0body, half as amazing
you see the vision, no competition
oooh
wakikuita, wakiuliza
usiogope, kuwaambia
uko kwa ndoa nami, uko kwa ndoa nami
Random Lyrics
- upsahl – drugs (blackbear remix) lyrics
- los gran reyes – que difícil fue olvidarte lyrics
- christian reindl – into the fire lyrics
- matheu – samen lyrics
- leo pari – milano addio lyrics
- arne åsmund – sweet marie lyrics
- vesania – vortex lyrics
- marca mp – escuela de la vida (en vivo) lyrics
- rob clouth – a shiver sequence lyrics
- amália rodrigues – nem às paredes confesso lyrics