ksonrap – beef lyrics
naskia kuna beef;
wana battle dizasta na rapcha;
bongo kuna beef inatrend hivi sasa;
kuna beef ya mawenge na motra;
kitambo kulikuwa na beef rado na fid;
kuna beef kikosi kazi na weusi;
kuna beef kama big na pac;
moni na country;
young k!ller na young d;
kalapina na chid;kingkong
kuna beef ya kiba na modi;
rayvan na kode jeshi kuna beef;
kama nako na kikosi cha mizinga;
kuna beef ya kijinga binno na lunya wakuvimba; wote wanaogopa nikitimba;
nakweli usitake beef na mangwair yupo juu;
utaskia nikki mbishi anabeef na wakazi;
kila kona kuna beef ccm na chadema;
beef ya yanga na simba kuna beef tff na manara;
ni kweli wanabeef majani na kajala?;masihara
beef kama ile antivirus na ruge;
jide na ruge; “godd+mn” r.i.p;
beef ya wanahip hip na madee;
Random Lyrics
- михаил елизаров (mikhail elizarov) – буккаке (bukkake) lyrics
- hedegaard – don’t fuck with me lyrics
- chubby checker – man smart, woman smarter lyrics
- dr. robert – a moment of madness lyrics
- emily jeffri – you’ll never learn lyrics
- hippie sabotage – all at once lyrics
- stoic & reyan – mac ten lyrics
- whose – please enjoy lyrics
- the hit parade – from paddington to penzance lyrics
- talha anjum feat. jj47 & talhah yunus – glass half full lyrics