ksonrap – katiba mpya lyrics
Loading...
katiba mpya ni sasa haina ngoja ngoja;
tushirikiane wote sio moja moja;
nipo mstari wa mbele kama jaji warioba;
nchi yetu nitajiri tusiwe omba omba;
chonde chonde wizara ya katiba na sheria;
raisi wetu mama samia;
sikia kilio hiki cha watanzania;
tufanye maamuzi tupate na tume huru ya uchaguzi;
tanzania mpya katiba mpya;
kama lisu safari mpaka kieleweke;
nawashika sana bango;
mapendekezo mapema tuanze mchakato;
kazi iendelee kote sio dodoma tu na chato;
wananchi wabunge wanasiasa wanasheria;
mahakimu hadi majaji wote tuungane;
tupate katiba mpya;
Random Lyrics
- .gif from god – a kiss for every hornet lyrics
- hooja – kommer du ihåg? lyrics
- trog music – trog – do zlata lyrics
- dame (sk) – ye mi lyrics
- sophia blenda – hysteria lyrics
- kregascover – hold on lyrics
- ziad_ahmed (botta) – حياة عمرh/ hayat omar lyrics
- adamant (rus) – intro lyrics
- nanasai – meu lugar lyrics
- mr. oglobster – really hot lyrics