ksonrap – mtaani kwangu lyrics
yeah!..
ksonrap!
you know what i mean
naskika toka swazi sogodo ndani ndani;
mchakamchaka machata na machizi waliopinda; mangeu manyang’au misokoto ya majani;
babu na wajukuu wote wanaghani;
panyarodi kila chocho kila siku mahakamani;
chafu tatu mwisho wasiku huna kitu mf+koni;
bado tuna komaa tu na fani..tupo chimbo kama apolo mererani;
nyapara gerezani makachero wanatusachi hawatukuti hata na jero;
wengine walisepa stoloway wakatoswa na mgiriki baharini;
harakati magilini vituko uswahilini kichapo cha ugoni;
hakuna wakukudhamini mapoti wakiwakutia tu mbaroni;
nahii ni last warning next wanakulenga kwenye utosi;
mikosi tunafusi mimoshi maskani za wakushi;
hatuna habari kama vile tupo bush;
life la huku lina tia tu hasira;
kuokota makopo imekuwa ni ajira hatuna dira;
Random Lyrics
- bianca alencar – breve canção de ninar (fleeting lullaby) lyrics
- nahuel virus, idrei & prod420 – top tier lyrics
- pedro rivera – el muchachito y el teniente lyrics
- luigi pocoto – superoshi lyrics
- levi ryan – jiji lyrics
- yuuma – dans les yeux lyrics
- נקמת הטרקטור – koach – כח – nekamat hatraktor lyrics
- the cruel intentions – reapercussion lyrics
- andrew montana – i just don’t wanna fight lyrics
- harry mcclintock – darkie uncle ned lyrics