ksonrap – napotokea lyrics
Loading...
napotokea nikisanga nilipo panga;
kipohuku kilichomtoa manyoya kanga;
mbele kwa mbele wananchi wanaisoma namba;
vyuma vimekaza tumekonda;
hakuna wakusubiri majibu angaza;
utakacho kiona hutakiwi kutangaza we nyamaza;
sekunde tu wanakinukisha kama hamza;
miujiza zaid ata ya mwamposa bulldozer;
wazee wakupuliza chumaulete kwenye mtaji wakaranga;
mpak vibabu vinavuta kushabu tu maganja, mirungi vina chanja;
kabla huj+pigwa ndumba wahi wewe kwa waganga;
hatulali kwa raha juu ya bati sauti tu za paka;
kila mtu anakunja huku hakuna atakae kupa dili za mkwanja;
utagonga mwamba full ngwamba huku huwezi tamba;
alie iga kunya kwa tembo huku alichanika msamba..
Random Lyrics
- bic fizzle – both ways lyrics
- nejeero – inthisbitchweswitch lyrics
- les carlsen – return me to the fire (bonus track feat. joyce carlsen) lyrics
- serotonin (htx) – d.i.y. lyrics
- muze sikk – destiny sun lyrics
- flexi geng – b.u.c.h. lyrics
- azure amante – make amends lyrics
- hal al shedad – spoken city lyrics
- prepared like a bride – 9.11.12 lyrics
- d-lain – lepsze miejsce lyrics