ksonrap – nawakilisha lyrics
[verse 1: duga mawe]
nawakilisha tmk kwa hizi nyayo za mbagala;
ni kweli hukosei kizazi kimetikea nyamala;
nawakilisha ndani ya fani hii ya sasa hisia za kale;
nawakilisha thamani tunaoishi maisha ya tandale;
nawakilisha wafalme wanaoishi kitumwa;
wakilisha yako subira ukiamini zitachumwa tuu;
naa wakilisha mchaka mchaka wa uswazi;
nawakilisha kiburugwa charambe na chamazi;
nawakilisha matumaini usijione kiwewe kwa sauti nafika mbali makazi m’bande kisewe;
nawakilisha hip+hop toka ndani ya moyo;
daima nitauwakilisha tu uadui kwa wachoyo;
[verse 2: bunaya]
oii oii kama saigon ebwana dar;
naiwakilisha dar es salaam ebwana raha;
naiwakilisha rap kwamichoro inanga’a;
inakuwa so crean lake a king haa;
nawakilisha (bny cypher) do or dae never stop kama baisa;
saka mashilingi kama uko na taita ganja kali nyingi yani ka tupo jamaica;
naiwakilisha k nyamala my hood ndo mitaa ninayo toka it’s good;
no body i fear in mood i am iron am not a wood;
nawakilisha tng tanga boy
[verse 3: ksonrap]
nawakilisha kino clain..nyota mabegani captain;
nawakilisha unyama unyamani kino nimeiweka kiganjani;
utanieleza kitu gani..nawakilisha sogodo ndani ndani uswahilini;
nawakilisha hiphop mpaka siku mwisho napolala kaburini;
kwenye huu utamaduni napo ghani nawakilisha wanangu kiotani; kiota mv09
black people namuwakilisha martin luther king;
(i have a dream)
nimeshuka toka sky nawakilisha aliens;
Random Lyrics
- sam macpherson – play dumb lyrics
- nicholas burgess – make love to frankenstein lyrics
- 妖精帝國 (das feenreich) – 彩の無い世界 (iro no nai sekai) lyrics
- trevor canon – silence(interlude) lyrics
- 3lly – hate song lyrics
- m.a.c. k.i.l.l.a. – a.i.m.s. lyrics
- baywud – back to life lyrics
- saske, easy-s & j.moods – loco lyrics
- summrs – relying on roxy lyrics
- fianru – victoria lyrics