ksonrap – nchi yangu lyrics
Loading...
nchi yangu ibarikiwa milima mabonde bahari na maziwa;
ardhi yenye rutuba kwa kilimo cha mpunga mahindi maharage mpaka miwa, uwoto wa asili ;
ufugaji wanyama kama ng’ombe mbuzi na ndege kama njiwa;
historia za machief wakati wa ukoloni nakabla hatujatawaliwa ukija utahadithiwa;
pita bagamoyo zanzibar mpak kilwa;utapata vinjwaji asilia kilimanjaro kuna mbege korogwe kuna ulanzi mn+z+ mpaka piwa;
bungeni kuna siwa, madini yakila aina tumetunukiwa;
hakuna ukabila ukija hauto baguliwa,amani na upendo hauto bugudhiwa;
watu wake majasiri kama kijana majaliwa;
inabidi tuwe wazalendo tulinde nchi mali nisije zikaibiwa;
sio tu flyover ndege za abiria na mizigo zimeisha nunuliwa;
Random Lyrics
- howl be quiet – 矛盾のおれ様 (mujun no oresama) lyrics
- ezra (ny) – can’t let my guard down lyrics
- pineapple jim – earthbound lyrics
- a projection – no light lyrics
- mode xl – bir uyandım lyrics
- kloud – lies (vip remix) lyrics
- cynthia luz – dançar com você lyrics
- silas – run it up ii lyrics
- withoutface (rus) – последний танец(last dance) lyrics
- howl be quiet – 解体君書 (kaitaikunsho) lyrics