ksonrap – ndoto ya mchana lyrics
[intro]
this one right here is for the people
nimelala mchana nikaota
yeah, let’s go
[verse1: ksonrap]
ajira hakuna tunasuk+ma mikokoteni;
wanasiasa baada ya kampeni wameingia tu mitini;
bila hata kandili wametuacha tu gizani;
hakuna kufanya mikutano chama cha upinzani;
kila kitu wametupiga pini wanasingizia vita vya ukraine;
vitu vinapanda bei madukani nachokisema nikweli wala sio utani;
hali mbaya wafanya biashara wan+z+funga tu mizani;
shekhe msikitini anakosa hela yakununua hata ubani;
hakuna anaetoa sadaka kanisani hatuna hata mbuni;
hakuna madawati watoto wanakaa chini mashuleni;
sare zao zimetoboka matakoni;
wabunge wao wanasinzia tu bungeni..
new model land cruiser wan+z+paki tu uwani;
sisi wametuacha kwenye mataa haliduni;
wanaishi zao tu mijini tuvyoishi ni kama mateka tu vitani;
hakuna madawa hospitalini bima ya afya akupe nani?;
majisafi hayatoki mabombani;
hawachimbi visima eti umekauka mto wami;
siku hizi hakuna bunge live kideoni;
huu mwaka wa ishirini bado mnatuahidi mtaweka lami;
lawama tumpe nani?
wanapitisha tu kokeni mateja wan+z+di tu kujaa mitaani;
magendo yanapita tu bandarini hatupo hata makini;
wanasafirisha makinikia watuambia sio madini;
ndege zinatua wanyama wanaibiwa tu porini;
nyie kopeni cag anatuambia yanaongezeka tu madeni;
nduguzao wanawateuwa wapo wilayani madaraka yashawalevya kwani mtawafanya kitu gani;
wanaharakati na watetezi wote wapojela wanakesi za uhaini;
waliponea chupuchupu walikimbilia uhamishoni;
ukizungumzia katiba mpya wanakutia tu mbaroni;
hii ni ndoto nimeiota mchana kweupe wala sio jioni;
Random Lyrics
- brodiebased – im ok if i die alone lyrics
- benji franks – i don’t want it lyrics
- goretex – intervention lyrics
- lucy wynters – enticing lyrics
- brianna musco – why don’t you want me lyrics
- kame kami – break lyrics
- krystal pavlović – bubble clit lyrics
- king pink (band) – tar lyrics
- zippy kid – don’t be shy lyrics
- 2shanez – hikkupxx lyrics