ksonrap - safari lyrics
[intro]
ahh ah
ksonrap
you know what i’m sayin’?
safari yangu..
[verse 1: ksonrap]
safari hii hakuna tena kujipakulia minyama;
itakuwa ni roho sitakuwa tena na huu mwili wa nyama;
safari hii nitakuwa peke yangu bila baba wala mama;
safari hii watakaoniaga watakuwa wameshika tama;
safari hii nikiondoka sitorudi tena, nitaenda kimya sito ongea tena;
sio ughaibuni useme nikate passport sio uganda wala kenya;
safari hii sitokuwa nachama cha siasa ccm cuf au chadema;
safari hii sitochelewa nitakapo hitajika nifika tu mapema;
safari hii pua zitaziba sitoenda nikiwa nahema;
safari hii sijui muda wa saa sijui ni asubuhi jioni mchana au machweo jua linazama;
nitakuwa mishemishe town au studio nikiwa nachana;
safari hii haijalishi heavy nimenenepa au nimekonda sana;
safari hii hakuna wakunidai nauli mi ndo dereva mi konda;
safari hii barabara ni nyembamba hakuna traffic wakukagua sijafunga mkanda;
hii safari hakuna wakuzuia sio madaktari wauguzi sio waganga;
safari hii sitokuwa na guitar kama nesta walasitowasikia mkinipigia kinanda;
safari hii daz nundaz wataimba tu kamanda;
safari hii nitawaachia nguo zangu wavae nitaondoka tu na sanda;
safari hii hakuna anaweza tamba hakuna wakujiita mwamba;
Random Lyrics
- lil 610 - anime lyrics
- forum club starr - paint it black lyrics
- jota bermúdez - caminante lyrics
- angie hart - night of the wolverine 1 lyrics
- naite - gone lyrics
- torsun & the stereotronics - alles neu lyrics
- jupiterkami - honest lyrics
- super moonies - gemeinsam lyrics
- hector gachan - electric company lyrics
- ruzzell - rebelde lyrics