ksonrap – safari lyrics
[intro]
ahh ah
ksonrap
you know what i’m sayin’?
safari yangu..
[verse 1: ksonrap]
safari hii hakuna tena kujipakulia minyama;
itakuwa ni roho sitakuwa tena na huu mwili wa nyama;
safari hii nitakuwa peke yangu bila baba wala mama;
safari hii watakaoniaga watakuwa wameshika tama;
safari hii nikiondoka sitorudi tena, nitaenda kimya sito ongea tena;
sio ughaibuni useme nikate passport sio uganda wala kenya;
safari hii sitokuwa nachama cha siasa ccm cuf au chadema;
safari hii sitochelewa nitakapo hitajika nifika tu mapema;
safari hii pua zitaziba sitoenda nikiwa nahema;
safari hii sijui muda wa saa sijui ni asubuhi jioni mchana au machweo jua linazama;
nitakuwa mishemishe town au studio nikiwa nachana;
safari hii haijalishi heavy nimenenepa au nimekonda sana;
safari hii hakuna wakunidai nauli mi ndo dereva mi konda;
safari hii barabara ni nyembamba hakuna traffic wakukagua sijafunga mkanda;
hii safari hakuna wakuzuia sio madaktari wauguzi sio waganga;
safari hii sitokuwa na guitar kama nesta walasitowasikia mkinipigia kinanda;
safari hii daz nundaz wataimba tu kamanda;
safari hii nitawaachia nguo zangu wavae nitaondoka tu na sanda;
safari hii hakuna anaweza tamba hakuna wakujiita mwamba;
Random Lyrics
- vicu – bttfl lyrics
- mun zay – all cap lyrics
- taylor mills – new year’s eve lyrics
- boef – khadiya lyrics
- insolo – sigo vivo lyrics
- the government of the ohio republic – we’ll meet again lyrics
- ateyaba – alc lyrics
- ева польна (eva pol’na) – bésame mucho (2022 version) lyrics
- tom speight – if this is how the story ends lyrics
- leon lugor – ¿porque siempre me hacen daño? lyrics