azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

kusah – nibebe (feat. barnaba) lyrics

Loading...

labda mbingu na dunia vije vishikane wabadili mchna uwe ucku wa manane
wakitaka tuachane watupige mapanga baby
tufe tuzikane
si unajua nakujua sasa walimwengu mm wataniambia nn
na wakitak kukwambia waambie bby ww ndo unanijua mm
vile vipengele si ungehama
ungeingia maji ningezam
walikuvua nguo ukachutama
uksema uniachi ukangangana na mm
penzi n kam kamali tucheze hakuna dosari tena hakun kujar
tena lipigwe zumari wapambe wakae mbali tucheze tujivinjar
basi nibebe nibebe
nibebe nibebe
unibebe nibebe nibebe kwa kila hali nibebe



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...