lava lava – go gaga lyrics
ana jicho la kukonyeza na mikogo kashakira
mhhhhhhh
nyuma mkia pweza shepu katapira
mechi tunazozicheza kitandani fundikira
ameniweza napumua kwa mipira
tenaa
kiuno laini chuchu dodododo
kitovuni kipini mtoto jojojojo
avae dera kimini nyuma rojorojo
katoto ndizi maini yani sotojotojo
aaahhhh gogaga
fanya kama unataga
tuzivunje chaga
ongeza mazagazaga
ayeee
aaahhhh gogaga
fanya kama unataga
tuzivunje chaga
ongeza mazagazaga
basi waonyeshe
waone waone
basi waonyeshe
waone waonyeshe waone
mungu alikuumba kwa udongo we mtoto fire
(fire, fire)
kuta kunipa mazongo ukija retire
(tire, tire)
zidishe maonjo stimu za kaya
(kaya, kaya)
sichururu ndondondo penzi likapwaya
(pwaya, pwaya)
unavyonichanganya manuva
kiuno spidi kama msuva
kwako napooona
maajabu samaki nguva
mchezoni unavyonifungafunga
magoli ya koona
tenaa
kiuno laini chuchu dodododo
kitovuni kipini mtoto jojojojo
avae dera kimini nyuma rojorojo
katoto ndizi maini yani sotojotojo
aaahhhh gogaga
fanya kama unataga
tuzivunje chaga
ongeza mazagazaga
ayeee
aaahhhh gogaga
fanya kama unataga
tuzivunje chaga
ongeza mazagazaga
basi waonyeshe
waone waone
basi waonyeshe
waone waonyeshe waone
Random Lyrics
- votibonexuj – wedding day lyrics
- leano morelli – il capobranco lyrics
- бальза (balsa) – правда (true) lyrics
- daniela castillo – duele en el alma lyrics
- jimmy p – push-up lyrics
- daphne blake & the head – the heebs lyrics
- cristian – déjame conmigo (primera fila – live version) lyrics
- key glock – stop playin lyrics
- augi jean – se gateway lyrics
- forevatired – kiwi lyrics