les wanyika – sina makosa lyrics
Loading...
hasira za nini wee bwana
hasira za nini wee bwana
wataka kuniua bure baba
wataka kuniua bure baba
yule si wako
nami si w-ngu
chuki ya nini kati yangu
mimi na wewe
chuki ya nini kati yangu
mimi na wewe
hasira za nini wee bwana
hasira za nini wee bwana
wataka kuniua bure baba
wataka kuniua bure baba
kwako hayuko
kw-ngu hayuko
chuki ya nini kati yangu
mimi na wewe
chuki ya nini kati yangu
mimi na wewe
hasira za nini wee bwana
hasira za nini wee bwana
wataka kuniua bure baba
wataka kuniua bure baba
wewe una wako nyumbani
nami nina w-ngu nyumbani
chuki ya nini kati yangu
mimi na wewe
chuki ya nini kati yangu
mimi na wewe
nasema sina makosa wee bwana
sina makosa wee bwana
sina makosa wee bwana
sina makosa wee bwana
Random Lyrics
- thunder – chasing shadows lyrics
- lil booo – nothing more lyrics
- яница – в пет ми звънни lyrics
- queen – crazy little thing called love – live lyrics
- abu hamdan – khaleeny saket lyrics
- ward thomas – deepest you lyrics
- ward thomas – it’s not just me lyrics
- nomy – breathe out lyrics
- thunder – serpentine lyrics
- ward thomas – safe lyrics