lulu diva – ona lyrics
moyo si unge baki nao
nifanye kivuli
ruksa tu unichote nyao
unifunge nitulie tulii, oooohhhh
mwafulani anauliza umenipa nini?,…..
kwa udi na ubani, nimekulia amini
wanao nitamani wapo, aaaahhh
ila sijaona
nakupenda peke yako maaanaa mapenzi nimekoma
kama kipofu mi sioni
uchungu wa mapenzi unakaba koo
situkani mamba mtoni
umenipa yote naomba poo!!!……
baby
ona sasa ona, ona sasa ona x 2
ona sasa ona, ona sasa ona x 2
i swear i believe girl
umenikata kichwa nmebaki kiwili wili
niongeze ulicho nipa kita kwa mshipa utibue makirikiri
mpaka juu wana ning`inia ukirudi chini nadidimia
usinipe penzi makinikia, mi kwako nisha oza nishajifia
nimekuwa mlevi wa penzi lako, ongeza nilewe
mwambie mganga wako kaniweezaa
sioni maneno ya watu kw-ngu kama choo
mtoto kama chimvi jikoni, nilipo kuonja nikaomba poo
ona sasa ona, ona sasa ona x 2
ona sasa ona, ona sasa ona x 2
asa baby simamia, kidedeee
tena ng`ang`ania, kidedeee
vyote nabugia, kidedeee
huku naugulia, kidedeee
nipe hata kimoja, kidedeee
nisamamie ukucha, kidedeee
mtamu kama embe za kibada,kidedeee
mbuzi kafa kwa bucha, kidedeeee
s2kkizy baby!!……….
Random Lyrics
- jérémy frérot – revoir – single lyrics
- lil vierre – the towers by the bridge lyrics
- og win – flava lyrics
- mariu krakenkru – over and outro lyrics
- deesho – playing sports lyrics
- noel torres – adivina (version pop) lyrics
- thievery corporation – voyage libre lyrics
- jabier muguruza – frances farmer lyrics
- rulo y la contrabanda – bienes y males lyrics
- traditional cornish folk – the white rose lyrics