azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

mabudah bway – nikwambie lyrics

Loading...

intro
naah naaah,,,,naah naah
(mabudah bway)
verse 1(graysong)
mashallah nimekupata
unaenifaa wewe
nitakulinda na
macho sitapepesa kule

only you my buu
niko tayari kukulipia ushuru
for you my buu
nathubutu kukuita nuru(wewee)

mama come show me lavo
mama come gime lavo (oooh ooooh)
my baby mm ndio kikulacho
niamini amini mi ni wako (ooooh ooooh)

yaani acha nikwambie tu
baby me i love yah
na ninataka usikie tu
we pekeyako ndio unanikosha

chorass
naaaaaa aaaaa aaaaaa aaaaaaaaaa
i wanna love
nikilala nikiamka nikuone nisikukose (nikukose)
(oyeeee oohh)
naaaaa aaaaaa aaaaa aaaaaa aaaaaah
you the one
million mwingine mi sioni sitaki nikukosme
verse 2(budahson )
slide yo body
your ma melody,,,,,kw+ngu raha kuwa nawe
nikipandwa midadi,,, you hold me tight
leo party yamimi nawe

am yo king to your side
your ma queen to ma life
you know how to control my mind
i drive to yo body, you gimme licensе

i swear i go die to yo love baby oooh(baby oo eeeh)
kwa dhati nshapеnda we nipe skio(skio skioo eeeh)
yaani acha nikwambie tu,,,baby me i love yaah
na ninataka nikwambiee tu,,we peke yako ndo unanikoshaa

chorus
naaaaaa aaaaa aaaaaa aaaaaaaaaa
i wanna love
nikilala nikiamka nikuone nisikukose (nikukose)
(oyeeee oohh)
naaaaa aaaaaa aaaaa aaaaaa aaaaaah
you the one
million mwingine mi sioni sitaki nikukosme



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...