maddoh – lofa lyrics
#lofa vers 1
sura yake ya malingo mtoto yuko bingo maji ni ya shingo hoyi
huba lake ni kifungo ka ni nasa ulimbo imekanda na si cho moi
penzi kidonda sugu kinani sumbuaaaa
yeye ndo w+ngu tabibu hawezi kuniumbua
#kibwagizo
ilo tabasamu tu uki nangalia machoni
moyoni nna wivu usije niacha kwan
#corus
ujuwe me ni lofa e baby baby iiiii
mi ni lofa e he he he
nana nana na na naaaa
ujuwe me nilofa e he he he
baby baby iiiii
mi ni lofa e
he he he nana nana na na naaa
#vers 2
mkali wa mitindo si wa maskendo hapendagi zogo mpole
anipapasa kwa shingo afande niko lindo
ondoa shaka baby dont worry
sura ya mama umbo la wama kw+ngu unaniacha mi hoi
nikubembeleze mamaaa we nipe sana chumbani valangat si poi
#kibwagizo
ilo tabasamu tu uki nangalia machoni
moyoni nna wivu usije niacha kwan
#corus
ujuwe me ni lofa e baby baby iiiii
mi ni lofa e he hе he
nana nana na na naaaa
ujuwe me nilofa е he he he
baby baby iiiii
mi ni lofa e
he he he nana nana na na naaa
Random Lyrics
- dew myron – flowers lyrics
- ashley pater – seventeen lyrics
- foxblood – nepotism lyrics
- dupla real – el del jet lyrics
- xantikvariāts – kāds mans vārds lyrics
- the dubliners – the stone outside dan murphy’s door lyrics
- 2savvy – high up lyrics
- the latin rascals – on the edge lyrics
- asta wylie – lonelier lying next to you lyrics
- emzet – rollie lyrics