azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

mbosso – baikoko lyrics

Loading...

eeeh, kako fine
kila nikitaka kwenye line, (bila bila)
shuwine, kwake nimelewa kama wine (tilalila)
ye sisimizi nami gegedu tunagegeduana (gege)
na nilivyo sina jinsi
tajiri wa mbegu namuonga na mwana

baba mndenge mama mzaramo
uno lake la kurithi (aaah eeeh)
nafunga tenge mwali chakalamu
shetani mwana hibilisi

jipu (jipu)
uchungu (uchunguo)
mwana nyuma umejaza kishundundu
kwenye zip (zipu)
kuna kirungu (kirungu)
usikamate utawaita wazungu eeehe

babu mkuna n+z+ (mkuna n+z+)
achutama kishinanai na msuli wake ukowazi (ukowazi)
mambo yote hadharani
ughughughughu, mtoto anakaa ka+gorikipa
tena akikata naiingiza
baby acha unachezaga (baikoko)
unavyo baby (baikoko)
unavyonyonga (baikoko)
we waonyeshe (baikoko)

baby acha unachezaga (baikoko)
unavyo baby (baikoko)
unavyonyonga (baikoko)
we waonyeshe (baikoko)

asa komesha dengua, dengua
babay dеngua, dengua
ringa dengua, dengua
dеka dengua, dengua lokole
kanifunda la minguu
anataka nipite peku (peku peku)
kunduchu juu anifikishe kwetu (kwetu kwetu)
ye ndo ladha tamu ya kitumbua
rojo ya embe kibada (kibada)
hodari kunengua miuno ya ushubwada (shubwada)
nyuma kalisasambua kafungusha migavwaga (vwaga) anavyotafuna muwa kah kibogoyo dada

katoto kamelainika mwana (mwana)
kukapa ndizi banana (nana)
nakapeleka kwa mama (mama, mama)
dangote, kama kuku twakimbizana (zana)
kanaibuka kanazama (zama)
kamwili kana banana laana lana lana ka+zote
ebo, mtoto anadaka gorikipa
tena akikata naiingiza
baby acha unachezaga (baikoko)
unavyo baby (baikoko)
unavyonyonga (baikoko)
we waonyeshe (baikoko)
baby acha unachezaga (baikoko)
unavyo baby (baikoko)
unavyonyonga (baikoko)
we waonyeshe (baikoko)
asa komesha dengua, dengua
babay dengua, dengua
ringa dengua, dengua
deka dengua, dengua lokole
hamu anaifuata (anainama, anainuka mwali anaisusa)
kwa kujishebedua (anainama, anainuka mwali anaisusa)
kama hataki mwali (anainama, anainuka mwali anaisusa)
kwa madoidoi (anainama, anainuka mwali anaisusa)



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...