
mulu akili - sisi. lyrics
[verse 1]
uwe mbali au karibu
moyo w+ngu ulish+geuza nyumbani
hebu sasa nipe jibu
j+po bado naweza subiri
[pre+chorus]
twende wapi sisi?
tuwe tu wawili
mlango nauwacha wazi
ila ukiingia funga basi
[chorus]
maaana ni mimi na wewe
hayo mengine hatujali
maana ni mimi na wewe
wengine tusiwape nafasi
baby ni wewe
darling ni wewe
baby ni wewe
darling ni wewe
[verse 2]
mengi unatarajia
nami nang’ang’ania
na ulivyonivumilia
i say
si kawaida
mengi unatarajia
nami nang’ang’ania
na ulivyonivumilia
i say
si kawaida
[pre+chorus]
twende wapi sisi?
tuwe tu wawili
mlango uko wazi
eh, ingia nyumbani
twende wapi sisi?
tuwe tu wawili
mlango uko wazi
eh, ingia nyumbani
[chorus]
maaana ni mimi na wewe
hayo mengine hatujali
maana ni mimi na wewe
wengine tusiwape nafasi
baby ni wewe
darling ni wewe
baby ni wewe
darling ni wewe
[bridge]
hakuna
lakulinganishwa
au kufananishwa na wewe
hakuna
linaloweza
kututenganisha
[chorus]
maaana ni mimi na wewe
hayo mengine hatujali
maana ni mimi na wewe
wengine tusiwape nafasi
baby ni wewe
darling ni wewe
baby ni wewe
darling ni wewe
Random Lyrics
- ananda (bra) - e se for pra ser sincera: lyrics
- dion - if i should fall behind lyrics
- thetpq - khải hoàn khúc lyrics
- interlaker - the hunger lyrics
- refrigerated icecubes - and that was the last thing i ever saw lyrics
- derek levendusky - god is not an american lyrics
- zao (grc) - prestige lyrics
- sharaktah - woodstock im garten lyrics
- ipr4yfrsm0k - noche de brujas lyrics
- taking back sunday - juice 2 me lyrics