mulu akili – sisi. lyrics
[verse 1]
uwe mbali au karibu
moyo w+ngu ulish+geuza nyumbani
hebu sasa nipe jibu
j+po bado naweza subiri
[pre+chorus]
twende wapi sisi?
tuwe tu wawili
mlango nauwacha wazi
ila ukiingia funga basi
[chorus]
maaana ni mimi na wewe
hayo mengine hatujali
maana ni mimi na wewe
wengine tusiwape nafasi
baby ni wewe
darling ni wewe
baby ni wewe
darling ni wewe
[verse 2]
mengi unatarajia
nami nang’ang’ania
na ulivyonivumilia
i say
si kawaida
mengi unatarajia
nami nang’ang’ania
na ulivyonivumilia
i say
si kawaida
[pre+chorus]
twende wapi sisi?
tuwe tu wawili
mlango uko wazi
eh, ingia nyumbani
twende wapi sisi?
tuwe tu wawili
mlango uko wazi
eh, ingia nyumbani
[chorus]
maaana ni mimi na wewe
hayo mengine hatujali
maana ni mimi na wewe
wengine tusiwape nafasi
baby ni wewe
darling ni wewe
baby ni wewe
darling ni wewe
[bridge]
hakuna
lakulinganishwa
au kufananishwa na wewe
hakuna
linaloweza
kututenganisha
[chorus]
maaana ni mimi na wewe
hayo mengine hatujali
maana ni mimi na wewe
wengine tusiwape nafasi
baby ni wewe
darling ni wewe
baby ni wewe
darling ni wewe
Random Lyrics
- masterplan – mankind (helloween cover) lyrics
- irone masotto – чёрные цвета (black colors) lyrics
- iam tongi – over the rainbow lyrics
- alice the little alien – what do you think of me? lyrics
- supercombo – pólen lyrics
- johanna samuels – ugly on the inside lyrics
- iayze – mont blanc lyrics
- talibanbansspoicy – faded lyrics
- 22carbone – stella lyrics
- leellamarz (릴러말즈) – 일어나 보니 (hangover) lyrics