nahash mwathi – imani lyrics
yuataka tuwe na imani
kama haradali mbegu
imani isiyoyumbishwa
imani iliyo imara
imani kwenye neno lake
aliyetupenda kwanza
anatuahidi uzima
anatuahidi uzima
nitamwamini
j+po mateso yaje
nitamwamini
iwapo mbele sioni
imani ngao yangu
ya vita mabondeni
nitamwamini anipe imani
nitamwamini anipe imani
safari ya kwenda mbinguni
alisema si rahisi
ni njia iliyo nyembamba
yenye matatizo mengi
lakini anatuahidi
kuwa atakuwa nasi
yeye ameshinda dunia
na yeye ni mwokozi wa wote
nitamwamini
j+po mateso yaje
nitamwamini
iwapo mbele sioni
imani ni ngao yangu
ya vita mabondeni
nitamwamini aah anipe imani
nitamwamini mmhmm anipe imani
je utamwamini wewe akupe imani?
imani (kama ya musa)
imani (kama ya yusufu)
imani (kama ya eliya)
imani (kama ya ruthu)
imani (kama ya esta)
imani (kama ya ibrahimu)
imani (kama ya paulo)
imani (kama ya daudi)
imani (eh! ya petro)
imani (imani ya nuhu)
imani (kama ya samweli)
imani (kama ya enoko)
imani
imani
Random Lyrics
- ben&ben – lunod lyrics
- whereswilder – keep me rollin’ lyrics
- нисы (nisy) – в наушниках легче (it’s easier with headphones) lyrics
- sickly rats – rat traps lyrics
- marli siu – ae fond kiss (choral) lyrics
- b. fraser – osmosis sammy jones lyrics
- abby lyons – regrets lyrics
- childe – just me lyrics
- consolation – lilly lyrics
- ezra kai – bright lyrics