nandy – nigande lyrics
kama penzi maruani pandaaa nikuaguee
kilingeni nipige manyanga kitatuliee
likishapanda nilivike tajii
jini la mapenziii usivunje n-z-i
kama kichanga nibembelezee mmmh
soba ya mapenzi dawa nimeze
usisome riwaya hadidhi wakaipata
penzi mbio za vijiti kupokezana usije nikacha
usisome riwaya hadidhi wakaipata
penzi mbio za vijiti kupokezana usije nikacha
(aaaah nigandee)
utamu wako naujua miee
(aaaah nigandee)
usiniache nishikiliee
wanini msumari me puto nitapasukaeeeh ahaa
ndani mambo shwari sitaki ruka ruka eeeh ahaa
kitambaa nifute jasho tupendane leo kesho ooh
nif-kize manukato, ooh ooooh eeeh
njee sitotoa chako ooh, acha wanile kwa macho ooh
zabi zabi tumbo joto ooh oooh
usisome riwaya hadidhi wakaipata
penzi mbio za vijiti kupokezana usije nikacha
usisome riwaya hadidhi wakaipata
penzi mbio za vijiti kupokezana usije nikacha
(aaaah nigandee)
utamu wako naujua miee
(aaaah nigandee)
usiniache nishikiliee
Random Lyrics
- killnzi – doki doki lyrics
- maizurah – we can make it lyrics
- tony joe white – our day will come lyrics
- lumpp – banana yellow suit lyrics
- iann dior – unforgettable lyrics
- inhaí queridinha – ey (cala a boca) lyrics
- snow ghosts – heavy heart lyrics
- felikz – facetat lyrics
- 808 propane – feels like lyrics
- wand – scarecrow lyrics