nandy – yuda lyrics
(kimambo on the beat)
nimemyosha w+ngu yuda
vyake vitamu najipakulia
kungwi nimefundo
wake ma ex ndo wanaumia
walisema limevunda
sasa jikoni ndo linanukia
ye ndo w+ngu kiti
tena hachoki nikimkalia
na tena siku hizi nanenepa nanawiri
yamenoga mapenzi na yameshamiri
anipa vidogo na vikubwa tamu sio shubiri
nyumbani k+menoga huniponza mwili
ananilete chumbani, nikoleze w+ngu hunnie
tunacheza kibaba mama, kibaba mama
wakienda vitani sisi tuko nyumbani
aniteach inama, inama inama
n+z+waume roho zao
n+z+waume roho zao
n+z+waume roho zao
n+z+waume roho zao
kanipa sikio ananisikiliza
malumbano ndani hana
nimepitisha f+gio na hawezi kuniliza
mashindano ndani hana
nimefundishwa na mama, k+mlea bwana
akitakaga nyama, nampaga na tena
ananilete chumbani, nikoleze w+ngu hunnie
tunacheza kibaba mama, kibaba mama
wakienda vitani sisi tuko nyumbani
aniteach inama, inama inama
n+z+waume roho zao
n+z+waume roho zao
n+z+waume roho zao
n+z+waume roho zao
Random Lyrics
- kennyoorr – fronteando (part. sonrisa23) lyrics
- nadech kugimiya – orbit lyrics
- supremo oficial – tiempo lyrics
- crocojonny – money wedding lyrics
- bigg dabb – “dear opps,” lyrics
- debra laws – moments like this lyrics
- boredewil – saferspacethantheworld lyrics
- rasster – numb lyrics
- westy – checkin’ my status lyrics
- luke haines – rock n roll animals lyrics