natty jerry brant – karne ya 30 lyrics
intro :-
kilio usipotoa chozi sio kilio../
kisicho na uhaba wa simanzi ndo kilio../
kinachotoka chini ya ardhi mpaka mbingu../
kinachoomba nyingi radhi mpaka juu kwa mungu../
kilio kinachogusa mbingu ndani ya karne ya 30../
natty jerry brant,mfarisayo,de la p,lost poetry yeaah
verse 1 (natty jerry brant)-
ni kama ndoto ‘no’ dunia mapito../
watoto wa mungu tuko gizani../
tumeuacha utukufu wa nyota ing’aayo angani../
tunautafuta umaarufu kwa dini feki za kipagani../
ndani ya karne ya 30 dunia itakua jala jalalani../
ni ushetani na uhaini utakaotawala tu ubongoni../
kwa fikra hasi za wale makuhani watakaowezeshwa na shetani../
ndani ya karne ya 30 dini feki zitakua mezani../
maandiko hayatafanana na yale ya wazee wa zamani../
biblia za mtandaoni,ni mpango wa kishetani../
wa kupoteza biblia huru gizani../
macho yangu yatakonda kwa uchungu na huzuni../
kila mtu ni mchunga mwenye wito wa kichungaji ni nani../
mwenye cheo ni shoga flani, na ndio padri mwenye imani../ ukimuuliza atadai siku hazifanani../
hata casino ni ibadani,kanisani ni mbeshani../
na sadaka madhabauni mpaka condom kikapuni../
dunia itakua pepo ya makafiri,na pia ni jela kwa waumini ibadani../
maana ukweli utakua umefichwa kapuni
Random Lyrics
- yung melly – the way lyrics
- mudi & joshi mizu – hayat lyrics
- m-kids – indianendans lyrics
- banda bassotti – el pueblo unido jamas será vencido lyrics
- trezzy – changed lyrics
- xela – too nice lyrics
- eddy (nl) – lucid lucy lyrics
- bay city rollers – love power lyrics
- just hush – one night lyrics
- don williams – i’m just a country boy lyrics