nay wa mitego – amalile lyrics
kwanza uliniomba nikupende nisikize ya walimwengu
nikaheshimu maneno yako nikafungua moyo w+ngu
ulinipo nikosea nilisamehe zaidi mara saba sabini
na nilipokukosea huku nyamaza wakajua na majirani
nikaanza kusikia na bwana toka congo
aliyekuletea chacha ukanisaliti mumeo
hivi ni nini ulitaka nikupe
shukrani ya punda mateke
yakishakushinda usijute
hivi ni nini ulitaka nikupe
shukrani ya punda mateke
yakishakushinda unik+mbuke
pesa zangu mali zangu nilikupe mpezi wewe wamalile
pesa zangu mali zangu nilikupe mpezi wewe wamalile
eh wamalile wamalile
eh wamalile wamalile
eh wamalile wamalile
eh wamalile wamalile
manenno nikisema yatapunguza heshima
moyoni naficha k+mstiri mwanangu
shida nilizopata kukuletea furaha
nikiyak+mbuka naumia uchungu
naka wimbo nikakuimbia
you’re the only one
na bado ukanikimbia labda ni shetani
jua furaha sio pesa
j+po nilikupa
kama hukutosheka
jibu sio kuondoka
umemuacha mtoto kwa mdundiko unapigwa kwa jirani
ningeijua hiyo ngoma ningeipiga tucheze humu ndani
eh wamalile wamalile
hauna huruma hata kidogo wamalile
ona katoto bado kadogo wamalile
na kila la kheri uko uwendako
pesa zangu mali zangu nilikupe mpezi wewe wamalile
pesa zangu mali zangu nilikupe mpezi wewe wamalile
pesa zangu mali zangu nilikupe mshenzi wewe wamalile
pesa zangu mali zangu nilikupe mshenzi wewe wamalile
Random Lyrics
- baustelle – cuore lyrics
- fatal jamz – cult star lyrics
- zyon (2) – all i ever wanted lyrics
- victory – el shaddai lyrics
- og ikonen – kaunis elämä lyrics
- lucas meraki – ao infinito e além lyrics
- the pharcyde – heart & soul lyrics
- inge bremnes – det ene lyrics
- the journeymen – i am a poor and a ramblin’ boy lyrics
- will hill – first 100k lyrics